A Andrew Jr JF-Expert Member Apr 23, 2012 330 117 Oct 6, 2012 #1 Poleni na mihangaiko ya maisha wana jf naomba kwa anayefahamu bei ya alizeti jumla na rejareja kwa dar es salaam. Nawasilisha
Poleni na mihangaiko ya maisha wana jf naomba kwa anayefahamu bei ya alizeti jumla na rejareja kwa dar es salaam. Nawasilisha
Kamkuki JF-Expert Member Feb 1, 2011 1,672 970 Oct 6, 2012 #2 naomba uiweke sawa hii Alizeti mafuta au Alizet malighafi, utasaidiwa mkuu!
CharmingLady JF-Expert Member Apr 16, 2012 18,250 12,868 Oct 6, 2012 #3 alizeti mafuta au alizet mbegu. ?
Mpui Lyazumbi JF-Expert Member Sep 1, 2010 1,856 371 Oct 6, 2012 #4 Hapa ndo JF MOYO WA GLORY. Haya, funguka sasa... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Mpui Lyazumbi JF-Expert Member Sep 1, 2010 1,856 371 Oct 6, 2012 #5 Hapa ndo JF MOYO WA GLORY. Haya, funguka sasa... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
A Andrew Jr JF-Expert Member Apr 23, 2012 330 117 Oct 7, 2012 Thread starter #7 charminglady said: alizeti mafuta au alizet mbegu. ? Click to expand... mafuta ambayo tayari yameshaandaliwa kwa ajili ya kuuzwa
charminglady said: alizeti mafuta au alizet mbegu. ? Click to expand... mafuta ambayo tayari yameshaandaliwa kwa ajili ya kuuzwa
A Andrew Jr JF-Expert Member Apr 23, 2012 330 117 Oct 7, 2012 Thread starter #8 Baba V said: Mabangayeye? au mafuta yake? Click to expand... mafuta kabisa
A Andrew Jr JF-Expert Member Apr 23, 2012 330 117 Oct 7, 2012 Thread starter #9 Kamkuki said: naomba uiweke sawa hii Alizeti mafuta au Alizet malighafi, utasaidiwa mkuu! Click to expand... mkuu ni yale mafuta tu ambayo yameshakamuliwa na yako tayari kweye madumu ya lita 5 au 20, sio mbegu wala mashudu yake.
Kamkuki said: naomba uiweke sawa hii Alizeti mafuta au Alizet malighafi, utasaidiwa mkuu! Click to expand... mkuu ni yale mafuta tu ambayo yameshakamuliwa na yako tayari kweye madumu ya lita 5 au 20, sio mbegu wala mashudu yake.
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,779 Oct 7, 2012 #10 5 lts ni 25,000 tshs kwa rejareja.
T tabu kuishi JF-Expert Member Apr 16, 2011 353 43 Oct 9, 2012 #11 Naweza kukuleteya kwa sh 15000/= kwa lita 5 kama unachukuwa mengi mie ninaweza kussuply kwa wengi 0712976729
Naweza kukuleteya kwa sh 15000/= kwa lita 5 kama unachukuwa mengi mie ninaweza kussuply kwa wengi 0712976729