Tanganyika1
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 422
- 86
Tangu nilipokua mtoto nimekua nikisikia watu wanasem ati hizo ni ndoto za alinacha. sasa nashindwa kupata jibu, huyu alinacha ni nani? au tunamaanisha nini tunaposema ndoto za alinacha?
tafadhali wanajamii naomba majibu.
tafadhali wanajamii naomba majibu.