Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
Jamani week hii nilipanga kumvisha pete mama mtarajiwa lakini yamenikuta yaani hapa nilipo nimempigia simu kumtakia usiku mwema lkn anasema amechoka sana na anaomba apumzike..nakaa jirani sana nae,nikaamua kwenda kwake maana si kawaida yake kulala bila kuongea na mimi,jamani jamani nimekataliwa kuingia ndani wala hataki kunifungulia...je kuna jamaa ndani au?naomba msaada wenu pleaseeeeeeeeeeee....