<br />Mimi nimepangiwa chuo cha UDOM koz ya nursing ila mkopo hawajanipa na home hawawezi nilipia na vigezo vya mkopo ninavyo nifanyeje,nimekaa home since 2009 kw issue kama hiz?
huh..................hbu nkanywe maji glasi moja af nirudi kumshauri kijanaNenda diploma Education. Nadhani bado hawajaripoti. Kwakuwa wewe ni sayans utakuwa dili sana mtaani, utapata mademu wakal wakali wote.