Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Jamani huyu ni kichaa waakili,namtafu kanitoroka humu jamvini.nilimuacha nimemfungia sehemu nikaenda kuongea na mods wanitafutie sehemu ya kumuifadhi kama vile kuanzisha jukwaa la vichaa lakini niliporudi sijamuona
popote alipo onekana mnitaaalifu maana akili imefyatuka
popote alipo onekana mnitaaalifu maana akili imefyatuka