Mpaka leo sijawahi kuelewa kati ya mwanaume na mke wakati wakichakachuana ni nani anafaidi zaidi. Nionavyo mwanaume hufaidi zaidi, na hii inajidhihirisha katika kutafutana, mwanaume uhaha kweli mpka analipata tunda la kuchakachua, wakati wasichana huleta mapozi mengi. naomaba michango yenu