Umenikumbusha kwenye kampeni zake mh. AIRO aliwahi kusema ''mimi sijasoma lakini nimeajili maprofesa ndio wananisadia kufanya kazi zangu, na mkinichangua watanisadia kupanga mipango ya kuwaletea maendeleo' na Shwaiba wake Peter Zakaria (moja ya matajiri kanda ya ziwa) ambae pia hajasoma kwenye kampaini aliwahi kumsemea 'JAMANI MGOMBEA WETU NI DARASA LA SABA LAKINI MAMBO ANAYOFANYA YANAZIDI ALIYESOMA, JAMANI MSICHAGUE MSOMI CHAGUENI ATAYELETA MAENDELEO' hakika wanarorya wamechagua mtu wa kuwaletea maendeleo.
Kazi kweli, unapokuwa na mbunge ambaye hajui kwa nini anataka kuwa mbunge.