Jamani, Nakwazika kweli kwa kulikosa gazeti la MwanaHalisi

Nicholas

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
25,260
7,195
Siwezi ficha hisia zangu jinsi gani nakwazika kwa kukosa gazeti la mwanahalisi.Ki ukweli naichukia serikali kwa hilo,tena chuki mbaya sana.Sioni gazeti jingine ambalo ni worth my hard earned cents.Nimechoka nunua magazeti ambayo zaidi ya headings hakuna habari zinazodi highlights za JF.Nachukia kununua gazeti halafu baada ya kuscann natamani litupa.

Serikali ifungulie hili gazeti,we are hardcore fans wa hili gazeti na jinsi wanavyolifungia chuki zetu zinapanda beyond normal.Serikali wana sababu gani ya kulifungia kuliko radio na magazeti yalisoababisha uvunjifu wa kama tulivyowaona wakristu wakiwa terrorized?Iam afraid kama serikali na vyombo vyake wanajua wanachokifanya.

Nawashauri mwanahalisi sasa watengeneze website tofauti ili watu waweze subscribe kwa malipo ili waweze pokea news kupitia PDF format.It cheaper and personal na inaweza kuwa registered anywhere.This time nadhani itakuwa vyema content ziwe explicitly naked.

Nawakilisha kwa hardcore fans wenzangu.
 
Soma raia mwema maana linaendana kidogo na mwanahalisi

Ndio anaandikia mkandara na Zitto?nilipat akichefuchefu nikachana one day kwa sababu ya hao watu wanandika ujinga with passion.kidogo nikikuta Generali Ulimwengu kidogo nasikia moyo unarelax.
 
Mimi nimeacha kusoma magazeti lilikuwa halina mfano nasoma tanzania daima Jumapili.
Mwananch Nivile alipoweka siasa issue mandamano ya wanahabari na mchimbi nimeligomea hata wandikeje sitongozeki
 
Mimi nimeacha kusoma magazeti lilikuwa halina mfano nasoma tanzania daima Jumapili.
Mwananch Nivile alipoweka siasa issue mandamano ya wanahabari na mchimbi nimeligomea hata wandikeje sitongozeki

Mwananchi bado linanishangaza,kwani inawezekana mbwembwe za Tido kuondoka si kitu bali ni yaleyale ya shibuda na CDM.Gazeti lina heading nzuri, huku habari ni shallow as if hata mwandishi hakuwa anaijua au hata kuweka vipande vya JF.Mtanganzo ni mengi kuliko, shemu za kusoma huku ukitafakari ni kidogo sana,na hivyo kunifanya nisome haraka sana within 5min imemmaliza na huku mkononi nina makaratasi mengi bure kabisa.Nipashe nalo ni hivyo hivyo.
 
Wewe Niko wewe usinikumbushe hilo gazeti,kwenye kazi zangu nyingi nilikua nalitumia kama reference sasa hivi nasononeka tuu lakn Jf haijaniacha nyuma kwani ndio gazeti langu hili kwa sasa,pole mdau mwenzangu.
 
Wewe Niko wewe usinikumbushe hilo gazeti,kwenye kazi zangu nyingi nilikua nalitumia kama reference sasa hivi nasononeka tuu lakn Jf haijaniacha nyuma kwani ndio gazeti langu hili kwa sasa,pole mdau mwenzangu.

Halafu nilichokuwa napenda kwa hawa jamaa walikuwa na kitu kama mwendelezo wa matukio na njama zinzofanyika nchini.Ilikuwa ni rahisi kusoma habari zao na kujikuta unaweza predict hat kuhisi kitu pale unaposikia hutuba za viongozi wetu hata kama wanapiga kelele vipi za kujidai kuwa wato sehemu fulani na si ingine.
 
Halafu nilichokuwa napenda kwa hawa jamaa walikuwa na kitu kama mwendelezo wa matukio na njama zinzofanyika nchini.Ilikuwa ni rahisi kusoma habari zao na kujikuta unaweza predict hat kuhisi kitu pale unaposikia hutuba za viongozi wetu hata kama wanapiga kelele vipi za kujidai kuwa wato sehemu fulani na si ingine.
kama kuna kitu kilichonikera sana mwaka huu ni kitendo cha serikali kulifungia gazeti la Mwana halisi kipenzi cha watu wengi.Ingekuwa serikali inasifiwa kwa kila jambo wasingelifunga gazeti hilo.Ni heri kuandika ukweli kuliko kuandika uongo ili upendwe.
 
ili kulinda heshima ya mwanahalisi, sitasoma gazeti lingine lolote hadi pale litapoanza kuchapishwa tena.
 
Thibitisha kauli yako! La sivyo....

nilijaribu raia mwema nikakuta vumbi la akina Zitto,mwananchi nikakuta habari shallow sana.Siku hizi nitafuta kama kuna tangazo maalumu tuu na niambiwe na wale wote wajuao nivitafutavyo.

Nawapenda CDM ila kila siku ipitayo Zitto anazidi nipa kichefuchefu.Kila paltform aipatayo huengea vitu vilevile anavyoota.
 
Back
Top Bottom