Linamo JF-Expert Member Jan 12, 2011 9,976 24,488 Jul 4, 2011 #1 wanajamvi Hali zenu! Hawa ngozi nyeupe wana maajabu aina yao maana angekua babu yangu angeambiwa mwanga mkubwa! Nimemuona anacheza nao chui...tena chui hao wapo wawili wamemfanya rafiki! Mh! Ingekua wewe ingekua vipi? Nawakilisha.
wanajamvi Hali zenu! Hawa ngozi nyeupe wana maajabu aina yao maana angekua babu yangu angeambiwa mwanga mkubwa! Nimemuona anacheza nao chui...tena chui hao wapo wawili wamemfanya rafiki! Mh! Ingekua wewe ingekua vipi? Nawakilisha.