HAZOLE
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,551
- 708
Naomba kujuzwa maneno haya kwa kiswahili maana lugha yetu hii ni changa lakini tata baada ya kuathirika kwa nchi yetu kutufundisha kwa kutumia mitaala na lugha za nje;
1. Neno diploma
2. Advanced diploma
3. Degree
3. Postgraduate diploma
4. Masters
5. Phd
1. Neno diploma
2. Advanced diploma
3. Degree
3. Postgraduate diploma
4. Masters
5. Phd