white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,314
- 13,279
mimi kwa sasa nipo dar maeneo ya yombo buza ,huku intanet ya airtel ipo slow mno yaani ni kama hamna 2!je tatizo ni hii moderm au eneo?kwani hapa dar mtandao usumbue?nimejaribu zantel ni gusa anate ila ni wezi nimeweka 10,000,nimefungua mail tu naambiwa 500Mb zimekwisha!na wao huna uwezo wa kuangalia salio,kama unavyoweza kufanya kwenye airtel!