una kikumbuka kile kipindi cha mikingamo?Enzi hizo Tanzania tulikuwa na kituo kimoja cha radio, RTD. Piga ua ilikuwa lazima tu usikilize vipindi vyao vile vya ajabu ajabu kama vile,
1. Mbiu ya mikoa
2. Asilia salamu
3. Ukulima wa kisasa
4. Fimbo ya mnyonge
Nakwambia ilikuwa shughuli haswa, mwenye kukumbuka vinginvyo aongezee.
....Mkuu tumbuizo asilia sterling mwenyewe alikuwa Marehemu (RIP) Michael Katembo!!!Bila kusahau tumbuizo asilia....captain wake akiwa uncle J nyaisanga.
Utamsikia akisema haooo mwanakuja sasa waluguru...anaachia ngoma
yao kidogo then utamsikia akisema aahh waluguru acheni hasira njooni pole pole
then anaachia ngoma sasa.
hahahahhahh...
BWANA UMEME sasa tufanyeje sikilizeni BIBI UMEMEM, wakati kulikuwa hakuna mgao wa umeme!!!!ahhhhhhhhhhhEnzi hizo Tanzania tulikuwa na kituo kimoja cha radio, RTD. Piga ua ilikuwa lazima tu usikilize vipindi vyao vile vya ajabu ajabu kama vile,
1. Mbiu ya mikoa
2. Asilia salamu
3. Ukulima wa kisasa
4. Fimbo ya mnyonge
Nakwambia ilikuwa shughuli haswa, mwenye kukumbuka vinginvyo aongezee.