Jamani mmeyasikia haya!!!!!?

Hehehe Kiama kinakuja so unamtoa mtoto shule!!!
JESUS IS COMING!! LOOK BUSY!!
 
Asubuhi nikiwa naelekea kazini, nikaona magazeti mengi tu moja wapo likanivutia na gazeti hilo ni RISASI nikaona KIAMA nikataka kujua kulikoni??????????
niliyoyakuta huko ndani wana JF huwezi amini macho yako. Kuna muumini mmoja wa dhehebu la EAGT ameoteshwa na Mungu kuwa tarehe 21 May ni siku ya KIAMA, hivyo watu tujiandae, pia ameeleza kuwa ndio maana babu wa Loliondo katumwa ili kuwaponya watu. nae baada ya kuoteshwa akaamua kumsimamisha binti yake shule ili ajiandae vema kwenda katika ufalme wa Mungu.

hakuishia hapo amesema kama hii haitatokea basi apigwe mawe mpaka afe kama manabii wengine wa uongo walivyofanywa.

jamani twaenda wapi???????? Tafakari!!!!

Naamini humu kuna watu makini,wasomi na wenye uwezomkubwa wa kuchambua mambo katika jamii ya watanzania ambayoinanyonywa na MAFISADI, lakini pia tuna watu wanaoamini magazeti ya udaku!!!!!!!! Inasikitisha sanaaaaaaa......! Hayo ni magazeti yaliyoruhusiwa na serikali ya kifisi ili kujenga uoga, kuzuga, kupotezesha, kudhurumu haki na kila aina ya uzugaji kwa watanzania ili wazidi kupumbaa. Ni njia moja wapo ya kutengeneza MISUKULE wa CCM.

Sio gazeti la kunukuu hata kidogo. Ni magazeti ya Uswazi yasiyo na hoja ya ukombozi.
 
jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza,unaposikia mungu mwana si kama vile alivyo ridhi na babaye JK,kama vile ulivyo mwili na viungo vyake,ndivyo ilivyo hali ya UUNGU na nafsi zake tatu,mungu baba,mungu mwana na mungu roho mtakatifu.
Kweli usilolijua ni usiku wa giza....
Huo utatu nisaidie kunipa maandiko(ushahidi)....ili nikueleweshe usiyo yajua!!!!
 
Sasa watanzania zaidi ya 90 % wanaumwa ugonjwa wa kuamini dini za wazungu na waarab. Ni ugonjwa hatari kuliko ata HIV. Kipimo rahisi ni Loliondo kwa Babu. Inasikitisha sana.
 
Ni kweli siwezi kukulazimisha uamini vile ninavyoamin...!
Pia siwezi kukuacha upotoshe vile najua si sahihi unayoyaongea.
Baba hata MTU mkubwa yeyote ntamwita. Ila mnyama na vitu vingine siwezi kuviita BABA.
Baba ni yule anaeweza kumzalisha mwingine(ke).
Sasa MUNGU atamzalisha nani? Maajabu mengine haya!.

Q.6:101. He is the Originator of the heavens and the earth. How can He have children when He has no wife? He created all things and He is the All-Knower of everything.

Wakuu, ni kivipi allah akane hana mtoto na mke, halafu aseme maneno hayo hapo juu?

Kumbe allah ana watoto na Mke!

Maalim, jibu hoja hapoo juu in red
 
Halafu wana jamii hivi tunajiuliza kweli " kwa nini haya madai ya kuoteshwa na mungu, ama kuwa mwisho wa dunia unakaribia au mti fulani dawa ya magonjwa sugu" yanatokea upande mmoja tu wa Imani? (kama si KKKT, basi EAGT, au RC) lakini si Muslims??(Shia, Ahmadiya, Sunni, Ibaadhi)??? Hebu tutafakari jamani???

Shehe wetu wa Mwembechai na kuoteshwa kwake kuwa atakayempinga Kikwete u rais atakufa je!?
 
Asubuhi nikiwa naelekea kazini, nikaona magazeti mengi tu moja wapo likanivutia na gazeti hilo ni RISASI nikaona KIAMA nikataka kujua kulikoni??????????

Niliyoyakuta huko ndani wana JF huwezi amini macho yako. Kuna muumini mmoja wa dhehebu la EAGT ameoteshwa na Mungu kuwa tarehe 21 May ni siku ya KIAMA, hivyo watu tujiandae, pia ameeleza kuwa ndio maana babu wa Loliondo katumwa ili kuwaponya watu. nae baada ya kuoteshwa akaamua kumsimamisha binti yake shule ili ajiandae vema kwenda katika ufalme wa Mungu.

hakuishia hapo amesema kama hii haitatokea basi apigwe mawe mpaka afe kama manabii wengine wa uongo walivyofanywa.

jamani twaenda wapi???????? Tafakari!!!!
Dah!!siku hizi ni nini kimetokea huko mbinguni jamani au shetani keshakata minyororo?
Maana hivi vi mambo visivyo angaliwa inaweza ikafikia watu wakajifungia mahali na kutoka na kitu cha ajabu na chenye madhara makubwa kwa jamii.
Maana na huu mtindo wao wa sijui Yesu kanitokea mara Mungu nae kaniotesha na huko Rombo Bikira maria kamtokea nini hii ?Serikari inamaana haijui negatively impact ya huu upupu unaoenezwa ?Anyway ngoja sasa atakae kuja kwa jina la huyu aliyebaki MTUME S.W.A hiyo itakua funga kazi.
Wakuu wa eneo hilo komaeni na date hiyo kama haijawa kweli msiache kumlenga hata na manati ili iwe fundisho kwa waropokaji.
 
Dalili zote za mwisho wa dunia kama jibu la swali aliloulizwa Yesu ndani ya matayo 24, zimeshatimia. Swali lenyewe lilikua na vipengele vitatu (i)Ni lini jiwe halitasalia juu ya jiwe lingile katika hekalu la Yerusalemu? (ii)Ni nini dalili za kuja kwa Yesu na (iii)Ni nini dalili za mwisho wa dunia. Bwana Yesu alijibu vipengele vyote vitatu katika hiyo sura ya mt 24.
Lakini kwa habari ya siku na saa hakuna ajuaye hivyo kusema na tarehe 21 sii la kimaandiko hivyo ni uongo. Inawezekana ikawa kabla ya hiyo 21 may au baada yake. Cha msingi ni watu kuziungama dhambi zao na kuziacha kwa kumwamini mwana pekee wa Mungu yaani Masiha Yesu.
Kwa jinsi hiyo hata kiama kikiwa ni leo hii, tuna ujasiri mbele za Muumba wetu.
.
 
Back
Top Bottom