Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Gazeti gani mbona nimeenda globalpublishers lakini sijaona kitu kama hicho?
Asubuhi nikiwa naelekea kazini, nikaona magazeti mengi tu moja wapo likanivutia na gazeti hilo ni RISASI nikaona KIAMA nikataka kujua kulikoni??????????
niliyoyakuta huko ndani wana JF huwezi amini macho yako. Kuna muumini mmoja wa dhehebu la EAGT ameoteshwa na Mungu kuwa tarehe 21 May ni siku ya KIAMA, hivyo watu tujiandae, pia ameeleza kuwa ndio maana babu wa Loliondo katumwa ili kuwaponya watu. nae baada ya kuoteshwa akaamua kumsimamisha binti yake shule ili ajiandae vema kwenda katika ufalme wa Mungu.
hakuishia hapo amesema kama hii haitatokea basi apigwe mawe mpaka afe kama manabii wengine wa uongo walivyofanywa.
jamani twaenda wapi???????? Tafakari!!!!
Tatizo linaloikumba Tanzania ni kubwa kuliko nilivyodhani.
Hehehe Kiama kinakuja so unamtoa mtoto shule!!!
JESUS IS COMING!! LOOK BUSY!!
Tatizo linaloikumba Tanzania ni kubwa kuliko nilivyodhani.
Kweli usilolijua ni usiku wa giza....jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza,unaposikia mungu mwana si kama vile alivyo ridhi na babaye JK,kama vile ulivyo mwili na viungo vyake,ndivyo ilivyo hali ya UUNGU na nafsi zake tatu,mungu baba,mungu mwana na mungu roho mtakatifu.
Ni kweli siwezi kukulazimisha uamini vile ninavyoamin...!
Pia siwezi kukuacha upotoshe vile najua si sahihi unayoyaongea.
Baba hata MTU mkubwa yeyote ntamwita. Ila mnyama na vitu vingine siwezi kuviita BABA.
Baba ni yule anaeweza kumzalisha mwingine(ke).
Sasa MUNGU atamzalisha nani? Maajabu mengine haya!.
Q.6:101. He is the Originator of the heavens and the earth. How can He have children when He has no wife? He created all things and He is the All-Knower of everything.
Wakuu, ni kivipi allah akane hana mtoto na mke, halafu aseme maneno hayo hapo juu?
Kumbe allah ana watoto na Mke!
Halafu wana jamii hivi tunajiuliza kweli " kwa nini haya madai ya kuoteshwa na mungu, ama kuwa mwisho wa dunia unakaribia au mti fulani dawa ya magonjwa sugu" yanatokea upande mmoja tu wa Imani? (kama si KKKT, basi EAGT, au RC) lakini si Muslims??(Shia, Ahmadiya, Sunni, Ibaadhi)??? Hebu tutafakari jamani???
Dah!!siku hizi ni nini kimetokea huko mbinguni jamani au shetani keshakata minyororo?Asubuhi nikiwa naelekea kazini, nikaona magazeti mengi tu moja wapo likanivutia na gazeti hilo ni RISASI nikaona KIAMA nikataka kujua kulikoni??????????
Niliyoyakuta huko ndani wana JF huwezi amini macho yako. Kuna muumini mmoja wa dhehebu la EAGT ameoteshwa na Mungu kuwa tarehe 21 May ni siku ya KIAMA, hivyo watu tujiandae, pia ameeleza kuwa ndio maana babu wa Loliondo katumwa ili kuwaponya watu. nae baada ya kuoteshwa akaamua kumsimamisha binti yake shule ili ajiandae vema kwenda katika ufalme wa Mungu.
hakuishia hapo amesema kama hii haitatokea basi apigwe mawe mpaka afe kama manabii wengine wa uongo walivyofanywa.
jamani twaenda wapi???????? Tafakari!!!!