Kwa hiyo wale wanaojiandaa kugombea uraisi 2015 imekula kwao?? Lol!
Hahahahah!!! pia mafisadi waliojilimbikizia mali wazirudishe maana hazina manufaa tena... si keshokutwa tu jamani!!!!!!!!!!!:lol::lol::lol::lol::lol:
Kwa hiyo wale wanaojiandaa kugombea uraisi 2015 imekula kwao?? Lol!
Halafu wana jamii hivi tunajiuliza kweli " kwa nini haya madai ya kuoteshwa na mungu, ama kuwa mwisho wa dunia unakaribia au mti fulani dawa ya magonjwa sugu" yanatokea upande mmoja tu wa Imani? (kama si KKKT, basi EAGT, au RC) lakini si Muslims??(Shia, Ahmadiya, Sunni, Ibaadhi)??? Hebu tutafakari jamani???
Ina maana wewe unajifanya ni kipofu au ni kiziwi kwamba humwonagi sheikh Yahya akitabilia watu vifo, na ndio anaempa majini Rais wetu ili yamlinde? unajifanya ulijuwi hili? na hawa wanaosema wanatibu kisunna ni kina nani? usipende kuongea kama kasuku, kabla ya kupost kitu ni vyema ukaushirikisha ubongo wako kwanza.
Mungu hawezi kuwa na mwana.Biblia ninayosoma ndio inayo nipa imani Mungu yupo.
Biblia hiyo hiyo inasema Yesu Kristo ni mwana wa Mungu.
mungu hawezi kuwa na mwana.
tena kwa mtume isa ni makosa makubwa...nakukumbusha au nakuelimisha.
1-baba yetu adam nae umwite vipi?
2- mama yetu bi hawaa utamwitaje?
Mungu hawezi kuwa na mwana.
Tena kwa mtume ISA ni makosa makubwa...nakukumbusha au nakuelimisha.
1-Baba yetu Adam nae umwite vipi?
2- Mama yetu BI Hawaa utamwitaje?
jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza,unaposikia mungu mwana si kama vile alivyo ridhi na babaye JK,kama vile ulivyo mwili na viungo vyake,ndivyo ilivyo hali ya UUNGU na nafsi zake tatu,mungu baba,mungu mwana na mungu roho mtakatifu.Mungu hawezi kuwa na mwana.
Tena kwa mtume ISA ni makosa makubwa...nakukumbusha au nakuelimisha.
1-Baba yetu Adam nae umwite vipi?
2- Mama yetu BI Hawaa utamwitaje?
inatisha sana na kusikitisha, yn aliposema apigwe mawe mpaka afe, nilisikia kusisimka mwili. jamani lbda kweli??????? mh!!
inatisha sana na kusikitisha, yn aliposema apigwe mawe mpaka afe, nilisikia kusisimka mwili. jamani lbda kweli??????? mh!!
Wewe unaumia nini!!?
Sasa kama mimi naamini ni Mwana wa Mungu unataka unilazimishe niamini unachoamini wewe wakati najua upo wrong?
Kwa case unayosema Mungu hawezi kuwa Mwana, je ni sahihi kumwita Adam Baba, alikuzaa?
Si sawa!Hapa tukianzisha malumbano mwisho hakuna,
Naomba nikwambie tunaishi kwa imani, na kila mtu ana imani yake.
Imani yangu chimbuko lake ni biblia, Ninaamini Yesu ni Mwana wa Mungu wewe imani yako inachimbuko lake ambalo sio biblia(from my judgement) Unaamini Mtume Muhamad S.W.A.
Ndio maana nilianza kutoa angalizo la chimbuko la Imani yangu, so please never waste your time on these kind of arguements.
sawa?