Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
Naileta kama ilivyo kutoka wazalendo!!!
09-05-2010, 09:48 AM
Mack Fish
Junior Member
Join Date: Aug 2010
Posts: 26
JAMII FORUMS INATUMIWA NA CHADEMA VS KINANA.
Kumekuwa na mashambulizi ya mara kwa mara kwa Mwenyekiti wa kampeni ya CCM bwana Kinana.kashfa na mashambulizi haya yamekuwa yakija kila mara kwenye mambo binafsi.kwa utaratibu huu bwana Jamii Forums imepoteza muelekeo kwa kuwa chombo kinachotumiwa kukashifu watu bila sababu.
__________________
Vijana Zaidi
09-05-2010, 09:48 AM
Mack Fish
Junior Member
Join Date: Aug 2010
Posts: 26
Kumekuwa na mashambulizi ya mara kwa mara kwa Mwenyekiti wa kampeni ya CCM bwana Kinana.kashfa na mashambulizi haya yamekuwa yakija kila mara kwenye mambo binafsi.kwa utaratibu huu bwana Jamii Forums imepoteza muelekeo kwa kuwa chombo kinachotumiwa kukashifu watu bila sababu.
__________________
Vijana Zaidi