Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
Makamba anafaa sana kuwepo kwenye hicho cheo alicho nacho ili asaidie kuiondoa haraka ccm madarakani. Kwa sababu hiyo NAAMURU RASMI KWAMBA wana JF muache kumuandama isipokuwa mchocheeni zaidi ili apaze sauti yake itakayosaidia kupata ukombozi wa kweli!!!
NAWASILISHA!
NAWASILISHA!