drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 281
ndg wanajamii na jamii kwa ujumla mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi nakunakila dalili za takrima za wazi kabisa so ushauri wangu ukipewa khanga pokea ukipewa fulana pokea ukipewa pesa pokea yani usikatae kabisa kwani wametubia ili wajewatukaangee kwa mafuta yetu wenyewe ili kuwakomesha takrima tuchukue na kura tusiwape na mwisho wa uchaguzi tuwazomeee hatudanganyikiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ngoooooooooooooooo