Baba Erick
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 483
- 75
Hellow wana-mmu. hali inamwumiza sana alikuwa na mpenzi alimsomesha mpaka form six na kumgharamikia kila kitu na alipomaliza alimfungulia duka la vipodozi akalifilisi kwa kuwahonga wanaume ndipo alipoamua kumfurudisha kwao, alikaa miezi miwili na alilazimisha kurudi baada ya mda mfupi alipata ujauzito ambao alidai ni wake. Mwisho alizaa mtoto wa kike na jana katika hali isiyo ya kawaida mke wakd amekiri alipomrudisha kwao alimsaliti kwa kutembea na mwanaume aliyekuwa naye mwanzo. Anataka kumwacha familia inakataa ushauri wenu tafadhali