Ufisadi nchini, umepandwa, ukamwagiliwa maji, ukang'olewa magugu na ukapaliliwa na CCM. Ni vigumu sana kutofautisha ufisadi na CCM hivi sasa kwa sababu key players wengi wa ufisadi ni watu influencial ndani ya CCM. Wanufaika wa ufisadi ni wachache sana ukilinganisha na waathirika. Lakini waathirika ndo wenye nguvu kubwa ya kuamua kuendelea na ufisadi au kuupunguza. DAWA YA KUPUNGUZA (sio kutokomeza, manake hilo haliwezekani) UFISADI NCHINI NI KUITOA CCM MADARAKANI (KWA NJIA HALALI KIKATIBA).
Nawasilisha.:teeth:
Nawasilisha.:teeth: