Mtu anapokutusi hutegemea kuku-annoy sasa anajua akikutukania mama yako lazima urushe ngumi. Mie mtu akinitusi hilo tusi mie humjibu 'heri yako wewe uliyetokea mk...duni' ndiyo maana unakuwa na lugha chafu!
Hapo jamaa lazima akae kimya.
Kutukana kwa ujumla sio vizuri......iwe aliyetukanwa ni mwanamke au mwanaume!
Hayo ya hakuna kama mama wala hayahusiani......kwani nani kama baba?
Ahsante Filipo....... tuko pamoja
Hehehehehe sahivi ntakuwa napost mapoint tu ili uwe unanipenda kila siku
Hiyo kichwa yako ina mapwenti mangapi? Labda uwe unaichaji usiku kama simu.
Afu nimekumisi, nataka kukualika tukagombane na mtu.
Kutukana kwa ujumla sio vizuri......iwe aliyetukanwa ni mwanamke au mwanaume!
Hayo ya hakuna kama mama wala hayahusiani......kwani nani kama baba?
ni kweli kutukana siku hizi imepitwa na wakati kwanza hakuna matusi mapya..., labda haya ya vijana wa siku hizi ya kukojoleaa............ mi nikitukana tusi kubwa labda ms.e.n.g.e sababu ndio watu ninaowachukia zaidi duniani
Unajua mtu anapokutukana furaha yake ni kuona lile tusi limekuumiza, so nadhani ndo source ya hilo tusi kuvuma na kuzoeleka.....kwa sababu wengi tumelelewa sana na mama zetu na twawapenda na ili tuchukie zaidi inabidi wamention mama! Atleast hivyo ndivyo ninavyofikiria mimi......
Astaghafirulah mswalie mtume sheikh
una akili sana wewe.Kutukana kwa ujumla sio vizuri......iwe aliyetukanwa ni mwanamke au mwanaume!
Hayo ya hakuna kama mama wala hayahusiani......kwani nani kama baba?
mmmmmhhhh???Hiyo kichwa yako ina mapwenti mangapi? Labda uwe unaichaji usiku kama simu.
Afu nimekumisi, nataka kukualika tukagombane na mtu.
Wahenga wanasema hakuna kama mama,na kila mmoja wetu anajua ni kiasi gani anampenda mama yake.ndio baba zetu tunawapenda lakini ndo hivo tena hakunaga kama MAMA...Sasa napita mahali watu wanagombana mmoja anamwambia we mse,,,g,, na mwingine anamwambia K,,ya mamayako mzazi.Sasa mi nashangaa mara nyingi watu wawili wanagombana lakini anaetukanwa ni mama mzazi ambaye kwa wakati huo hata unakuta hayuo hapo,kwa nini mama?kuna sababu gani hasa ya kumtukana mzazi wa kike sehemu zake za siri???Na wakati hata humjui wala hujagombana nae??
Kipipi unan'chokoza au? Mbona umeiga mawazo yangu niliyokwisha ya'comment ?
Fine inakuhusu ujue !
Sikuachi hadi nikulime tozo la fine .
Hehehehe mke mwenza hii nimechelewa kuiona .......mwaliko bado upo au usha eksipaya!