DanielP
Member
- Dec 29, 2011
- 97
- 25
Jamani hizo proxy nnawekaje mbona mimi laini yangu haina ela niki put kwenye mozilla modem yangu ina sema connecting tu mda mrefu ila nikiweka money niki connect ina connect fasta nifanyaje iko connect bila hela na ianze onyesha spidi pale chini kwenye modem au kunakitu unafanya MSAADA PLEASE