white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,305
- 13,265
Mi nashindwa kuelewa hivi hii tanzania tumelaniwa na nani? wala tusimsingizie Mungu[GOD] labda gods,kwani haiwezekani kila mambo ya ajabu ajabu tu,yawe yanatokea kwetu!Inawezekana vipi wafanyabiashara wa tumbaku wanataka kununua tumbaku toka kwa wakulima kwa kutumia fedha za kigeni[US DOLLAR],je hawa wakulima wanazijua hizo pesa?na wanafanya hivyo ili iweje?