Kilinzibar
Senior Member
- Mar 6, 2008
- 124
- 1
sio mchezo nikiona mh zitto akiwa na makazi yake mjini dar wala sishangai na hii ni kwa wote wale wanao wakilisha majimbo yao wanao penda kukimbilia kuishi jijini dar kwakweli kunaumuhimu wa kuendelezea hii miji atleast pale mikoani
ivi ni huwa asilimia ngapi katika makusanyo ya kodi huwa yanabaki katika mikoa? au ndio lazima ije dar (hq) kwanza alafu ndio wapangiwe?
ivi ni huwa asilimia ngapi katika makusanyo ya kodi huwa yanabaki katika mikoa? au ndio lazima ije dar (hq) kwanza alafu ndio wapangiwe?