Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Hakika ntakuwa sijawatendea haki wana CCM kama sijaeleza vituko vya huyu mzee wetu....
jaman walioangalia taarifa ya habari wameamini kwamba huyu mzee wetu anazeeka vibaya kabisa....wakati wabunge wakiwa wametangaziwa kufiwa kwa mmoja wa mbunge mwenzao ...kukawa na vikao vya kumzungumzia marehemu ....mwandishi wa nipashe aipofika....kwa mzee wetu makamba alimwambia mzee wetu pole sana sana...kwa kufiwa na mzee wetu...mbunge wetu....jibu la kwanza mzee alianza kwa kusema kama mnavyojua nyie waandishi jino la dhahabu hubadilishwa kwa jino la dhahabu na jino la dhahabu ni CCM....ahsante sana najua watu wa .........watajitayarisha kumchagua mtu wa CCM....Hakika mwenye busara zao walisikitika sana kwa majibu ya huyu mzee wetu...wengi walitaraji amejisikiaje kwa msiba mzito wa taifa na sio kujua nani atachaguliwa tena kwenye jimbo lake.......
Mzee makamba nahisi anaitaji mshauri jamani...msimwachie awe anaongea mwenyewe bila ruhusa ya mshauri wake...nawatakia pole wana CCM na ote walioguswa na msiba huu kwa namna moja ama nyingine
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIBARIKIWE
jaman walioangalia taarifa ya habari wameamini kwamba huyu mzee wetu anazeeka vibaya kabisa....wakati wabunge wakiwa wametangaziwa kufiwa kwa mmoja wa mbunge mwenzao ...kukawa na vikao vya kumzungumzia marehemu ....mwandishi wa nipashe aipofika....kwa mzee wetu makamba alimwambia mzee wetu pole sana sana...kwa kufiwa na mzee wetu...mbunge wetu....jibu la kwanza mzee alianza kwa kusema kama mnavyojua nyie waandishi jino la dhahabu hubadilishwa kwa jino la dhahabu na jino la dhahabu ni CCM....ahsante sana najua watu wa .........watajitayarisha kumchagua mtu wa CCM....Hakika mwenye busara zao walisikitika sana kwa majibu ya huyu mzee wetu...wengi walitaraji amejisikiaje kwa msiba mzito wa taifa na sio kujua nani atachaguliwa tena kwenye jimbo lake.......
Mzee makamba nahisi anaitaji mshauri jamani...msimwachie awe anaongea mwenyewe bila ruhusa ya mshauri wake...nawatakia pole wana CCM na ote walioguswa na msiba huu kwa namna moja ama nyingine
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIBARIKIWE