Yule headmaster mwangoka yupo bado pale tukuyu? Au nae ndio kajifanya gadaf? Du mdingi yule nae alikuwa mnoko, hivi mnamkumbuka jamani hata waalimu wenzake walikuwa wanamuogopa kinoma.alikwishampiga kichwa mshikaji fulani alikuja pale shule kumtembelea mkewe. Almanusura awekwe lupango.