Jamani Mabinti wa hudumu wa ndege mtanitoa roho mie!!

Ondoa shaka nipo kazini! Naendelea na uchunguzi unajua ishu ni kubwa inaigusa ikulu hivyo inahitaji umakini!
Nauamini utendaji wako maana ile ya mkulu bagamoyo kuitoa tu yataka uwe mwendawazimu, we are waiting for the Riziwani
 
hii thread ni wapanda ndege tu...... waendesha maguta pia tunapata shida tunapopeleka matunda kwa mama muuza genge dah, yaani mweeee..... akiinama lal.
Ahaaaahaaahaaa hee kumbe nako kuna mifadhaiko? Pole wenzangu na mie!
 
wale wa vingamuzi kipi kinafaa kati ya star times easy tv na hao ATN naona hao jamaa wa atn wanakuja juu kwa mnaopenda ga,e,jana nimewasikia radio maria wanapatikana mikoa mingi,

king'amuzi cha star times kuna channel ya uganda inaitwa UBC inaonyesha uefa champions league.
 
Ahaaaahaaahaaa hee kumbe nako kuna mifadhaiko? Pole wenzangu na mie!

kila sekta wanawake vidosho/vimwana/vigoli/visistaduu ni gumzo. siku moja nilikuwa shambani nakusanya mihogo tunapakia kwenye kenta mara kuna binti wakawa wanatoka shamba....dah hakuna cha sindiria, yaani chuchu saa sita usipime palepale kuchwa cha chini kikasimama kuonyesha si haba. dah aibu
 
Katika umri wangu wa miaka 32 ya uhai wangu nimebahatika kusafi kwa ktk mataifa yapatayo 22 duniani!
Kitu kilicho nishangaza ni aina ya mavazi ya wahudumu wa kike ktk ndege kuwa katka muundo wa vimini mahaba!

Naomba mnisaidie juu ya hili, haya mavazi kwa nini ni vimini mahaba na yenye kufanana kwa wahudumu wa ndege karibu wote dunia?



Nawatakia utazamaji mwema wa ligi ya mabingwa leo mimi naangalia mechi ya Real Madrid vs Ajax, sijui wewe mswahili mwengu unaangalia mechi gani
Mm
 
macho yako yatakuwa yanavutiwa na vimini tuu mbona suruali pia wanavaa au huzionagi KQ, KLM
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom