howard
Senior Member
- Feb 21, 2011
- 188
- 28
Nauamini utendaji wako maana ile ya mkulu bagamoyo kuitoa tu yataka uwe mwendawazimu, we are waiting for the RiziwaniOndoa shaka nipo kazini! Naendelea na uchunguzi unajua ishu ni kubwa inaigusa ikulu hivyo inahitaji umakini!