<br /> <br / pamoja na hasira alizokua nazo sasha wakati anaandika post hii lkn NATHIBITISHA KW WIFI HUYU KAMWAMBIA MAMA Y2 KM HN PA KUPATA HELA AKAIBEKwa kweli jamani hili hata mimi nashindwa kukubali, labda sasha kasema tu kwa hasira ya kumchukia wifi yake. Yaani kweli mtu amtukane mamako na wewe unakubali? Kwa hili kama ni kweli basi kuna mushkeri mkubwa kwa huyu bwana kaka.
<br /> <br / ha2ogopi majukumu ya kumlea mama yt kwani ss wakike wa4 pamoja na waume ze2 tunashrikiana kumtunza mama ila tangu kaka y2 aoe amekuwa na tabia ya dharau kwa mama wl hamthamini ht kdg anathubu2 kusema hela ya bia na disko anayo ila ya matumiz ya mama hanami kwa mtazamo wangu naona ni bora kama mmeamua ninyi wanne kumsaidia mama yenu muendelee huyo kaka yenu hajalogwa wala nini inaonekana nyie mnaogopa majukumu.
ninakaka yangu wa pekee ktk familia ya watu 5.ameoa mwanamke wa kioldmoshi.jamani dada huyo hafai.kwa uchoyo,mdomo na ubinafsi.kuna siku kaka yangu alitoa elfu 50 kumpa mama yangu imsaidie amefanyiwa oparation .mwanamke akachapa lapa kwao.yani hataki msaada wowote uende kwa mama yangu.ameshatusababisha ndugu wote tugombane na kaka yetu.ili aweze kufaidi peke yake kwa kumtawala.juzi mama yangu aliomba pesa ya kununua jiko kwa kaka.mkewe akatuma msg kwa mama.kwamba mumewe anabanwa sana na ujenzi kama hana mahali pengine pa kupata hela akavunje mahali aibe.ikabidi ndugu tuingilie kati kumuuliza wifi yetu kulikoni jamani anatutukania mama yetu aliyetulea kwa shida toka afariki baba yetu miaka 23 iliyopita.cha ajabu kaka alisaport alichokifanya na kukisema mkewe.yaani tumebaki midomo wazi. Na mshangao juu.jamani huyu kaka kalogwa au ni upoyoyo wake mwenyewe?
<br /> <br / ha2ogopi majukumu ya kumlea mama yt kwani ss wakike wa4 pamoja na waume ze2 tunashrikiana kumtunza mama ila tangu kaka y2 aoe amekuwa na tabia ya dharau kwa mama wl hamthamini ht kdg anathubu2 kusema hela ya bia na disko anayo ila ya matumiz ya mama hana
<br />Hivi Sasha Girl ndo Angel Msoffe ?
Hilo siyo tatizo maana wa mama na mawifi huwa Hawakubali kwamba mtoto Wa kiume akioa anakuwa na majukumu pia. Wao hasa mawifi huwa hawamuheshimu mke Wa kaka yao yaani wana muona kama house girl tu wa kaka yao. Ndugu huwa wana mdharau wifi hadi na yeye sasa anaamua kusimama kidete. Ukiisoma hiyo story inaonekana hao 4 wame team up against huyo wifi kwamba ame mtwist kaka yao. Ukweli hapo unaanzia kwenye dharau za ndugu ndio maana na yeye amefikia hadi kujibu meseji. Kitu kama jiko si la kumuomba kaka Hilo ni madada na wifi wanalimaliza. Haiwezekani jiko tuu la elfu 50 sijui mama atume meseji kwa mwanae. Hiyo meseji ingetumwa kwa mke wa kaka yao jiko lingenunuliwa siku hiyohiyo na kupelekwa. Wadada ukiwachekea watakuja kubeba hata vitunguu kisa VYA KAKA YETU. Huyo wifi yuko sahihi KABISA.Maoni yangu samahani kama nimemkwaza mtu.
<br /> <br / no simjui mtu huyo<br /><br /> <br /><br /> <br /> Matron hawa ni sisters.....<br /> Mi nilikuwa nasubiri nimsikie na FLORA MSOFE, SIJUI NAYE NI DADA YAO?
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
Matron hawa ni sisters.....<br />
Mi nilikuwa nasubiri nimsikie na FLORA MSOFE, SIJUI NAYE NI DADA YAO?
<br />Aisee! wewe kweli greti thinka! kwa hii ishu inavyotambaa nadhani kesho ataibuka mke wa bro mwenyewe. Dah!