Jamani likaka langu limelogwa

Zero One Two

JF-Expert Member
Sep 16, 2007
9,347
3,023
ninakaka yangu wa pekee ktk familia ya watu 5.ameoa mwanamke wa kioldmoshi.jamani dada huyo hafai.kwa uchoyo,mdomo na ubinafsi.kuna siku kaka yangu alitoa elfu 50 kumpa mama yangu imsaidie amefanyiwa oparation .mwanamke akachapa lapa kwao.yani hataki msaada wowote uende kwa mama yangu.ameshatusababisha ndugu wote tugombane na kaka yetu.ili aweze kufaidi peke yake kwa kumtawala.juzi mama yangu aliomba pesa ya kununua jiko kwa kaka.mkewe akatuma msg kwa mama.kwamba mumewe anabanwa sana na ujenzi kama hana mahali pengine pa kupata hela akavunje mahali aibe.ikabidi ndugu tuingilie kati kumuuliza wifi yetu kulikoni jamani anatutukania mama yetu aliyetulea kwa shida toka afariki baba yetu miaka 23 iliyopita.cha ajabu kaka alisaport alichokifanya na kukisema mkewe.yaani tumebaki midomo wazi. Na mshangao juu.jamani huyu kaka kalogwa au ni upoyoyo wake mwenyewe?
 
mko wa tano,
swali nyinyi wengine mnafanya nini?
kaka yenu ni wangapi kuzaliwa????/
ndoa yake ina miaka mingapi??

ikibidi msipate kabisa misaada ya kaka yenu itakuaje?????/
 
Sasa kumbe hata wewe hujui kama kalogwa?

Nnachoweza kusema ni kwamba huyo dada anachofanya sio kizuri na wala sio sahihi hata kidogo.Ajaribu kua na heshima..au anadhani huyo mumewe alishushwa toka mawinguni!
 
Nyie wanne mnamsaidiaje Mama yenu? Elfu hamsini haiwezi kuwa tatizo kwa watu wazima wanne kumpata Mama yao!
 
Mapenzi ni kitu kitu kibaya sana dada! Naomba mumuombe mungu amfungue huyo ndugu yenu,amini si akili yake inayotawala maamuzi bali ni ulevi wa mahaba ya wifi yenu!
Naomba sana mfunge na kuomba kwa mungu hakika atafunguka na kusimama kama mwanaume!
 
halafu utaona kuwa wanawake wanakuwaga wakatili kwa wanawake wenzao
mwanaume huwezi kuwa mkatili kwa baba mkwe au hata mama mkwe
 
Sasa kumbe hata wewe hujui kama kalogwa?&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Nnachoweza kusema ni kwamba huyo dada anachofanya sio kizuri na wala sio sahihi hata kidogo.Ajaribu kua na heshima..au anadhani huyo mumewe alishushwa toka mawinguni!
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Nimeipenda kauli yako inaonyesha kuwa umeiva ktk hadhi ya nyota tano mama!
 
ninakaka yangu wa pekee ktk familia ya watu 5.ameoa mwanamke wa kioldmoshi.jamani dada huyo hafai.kwa uchoyo,mdomo na ubinafsi.kuna siku kaka yangu alitoa elfu 50 kumpa mama yangu imsaidie amefanyiwa oparation .mwanamke akachapa lapa kwao.yani hataki msaada wowote uende kwa mama yangu.ameshatusababisha ndugu wote tugombane na kaka yetu.ili aweze kufaidi peke yake kwa kumtawala.juzi mama yangu aliomba pesa ya kununua jiko kwa kaka.mkewe akatuma msg kwa mama.kwamba mumewe anabanwa sana na ujenzi kama hana mahali pengine pa kupata hela akavunje mahali aibe.ikabidi ndugu tuingilie kati kumuuliza wifi yetu kulikoni jamani anatutukania mama yetu aliyetulea kwa shida toka afariki baba yetu miaka 23 iliyopita.cha ajabu kaka alisaport alichokifanya na kukisema mkewe.yaani tumebaki midomo wazi. Na mshangao juu.jamani huyu kaka kalogwa au ni upoyoyo wake mwenyewe?

pole kwanza
ila wakati mama anakabidhi mzigo kwa bibie akujua madaraka ya wizara ya fedha kahamishia kwa bibie
huyo ajalogwa nyie mliokubali amwoe ndio srs ya matatizo wa old moshi toka kwenye mahusiano unawajua
unless alilogwa tangu bf/gf....anyway kama ni waumini na mnamwamini mungu mleteni pale kwa gwajima
karibu na kawe yawezekana ameshachukuliwa msukule nyie mnaona kaka kaka..mwisho akienda against
mtamlilia so mleten tumchape maombi ok...??
 
mko wa tano,<br />
swali nyinyi wengine mnafanya nini?<br />kila mtu anajituma kumsaidia mama kwa uwezo wake.ila yeye mpaka umlazimishe.
kaka yenu ni wangapi kuzaliwa????/<br />wapili
ndoa yake ina miaka mingapi??<br />
<br />5
ikibidi msipate kabisa misaada ya kaka yenu itakuaje?????/[/hatunashida nayo coz tunajitegemea pia cc.ila yeye ndo analeta poz kumsaidia mamaQUOTE]<br />
<br />tupo watano na tunamsaidia mama kila mtu kwa uwezo wake lkn yeye sasa then yupo peke wa kiume then ni wa 3 kuzaliwa.aisee bora watoto wa kike coz hukumbuka kwao.wakiume hamna kitu.
 
sasa weee dada buku 50 tu inakutoa roho mpaka unatangaza humu?? vitu vidogo tu hivyo,,au wee ndo umelogwa?? kwanza umeolewa kweli wewe? labda tuanzie hapo
 
sasa weee dada buku 50 tu inakutoa roho mpaka unatangaza humu?? vitu vidogo tu hivyo,,au wee ndo umelogwa?? kwanza umeolewa kweli wewe? labda tuanzie hapo
<br />nimeolewa na ninamiaka 10 kwenye ndoa na ninamuheshimu na kumtunza mamamkwe wangu vibaya sana
<br />
 
nyie wanne mnamsaidiaje mama yenu? Elfu hamsini haiwezi kuwa tatizo kwa watu wazima wanne kumpata mama yao!

enock mkuu
akikwambia bado wanasoma utawashauri wakajiuze pale sinza wamlipie mama yao???
Wazo tu mkuu na upande mwingine lazima ujue sio kila familia inawatoto kazi bali wengine wanakuwa wanawapiga tafu wenzao ili watoke..sasa labda huyo ndio mungu amempa kati ya hao watano..msiangalie idadi wapendwa kabisa kabisa
m nakupa ukweli tena kama uko na mchanga wa moshi tena mate chini..mkuu kama unazaa usishangae kuazaa sabaa ukazaa makasa yote na kumuuliza mungu kumbe uliandika neno moja tu kwenye thread ya jf
 
wala!!! inaelekea nyie mmemzoea vibaya huyo kaka yenu, mpo wa5 lakini cjackia mkijichanga kumpa mama msaada, ooh,kaka katoa 50,kaka anunue jiko.... wifi yako mjanja bwana,akiwaendekeza mtamrudisha kijijini wakati mjini patamu.....loh!!!mmezidi.. umeolewa dada?? embu olewa yakukute ww uone utafanyaje,tena ww ndo unaweza ukamfungia huyo mumeo hata kwenda kwao kama ukijua kuwa akienda 2 lazima arudi m2pu,na lyf hii ya bongo she z veeeeeeeeery right.
 
Unajua kuna wanawake wanajionyesha hata kabla ya ndoa sasa pengine unakuta wako vizuri kwenye mafao basi familia inaona kaka yao amepata na hili nimexpirience hata kwa upande wa wanaume..na kwa kuwa wanaitaji ndoa nakwambia utakuta kila wakienda kusalimia nyumban wanaleta mbuzi kitimoto..mayai nk baada ya ndoa wananza sasa kazi waliotumwa hapo ndipo mnashangaa lakin ukweli halisi wakati mwingine wazaza mnaendeekeza hawa wakwe mnadanganywa na vijizawadi zawadi vidogo kabla ya ndoa alafu baada ya mnajiuliza huyu ni nani ndie huyo huyo ametoka kwa bwana nyie mpokeen tu hivyo hivyo msaidieni kwa kumuombea basiii bila maombi hata wifi yenu atachapa lapa mbaki na kaka yenu
 
tatizo la huyu kaka yenu ni kubwa wala sio huyo dada
hacheni majungu shugulikeni na huyu kaka yeye kwa stori ilivyokaa
hana nia ya kutoa msaada, iweje mama yake amuombe yeye msaada kisha ajibu
mkewe!!!!!!!!
 
&lt;br /&gt;nimeolewa na ninamiaka 10 kwenye ndoa na ninamuheshimu na kumtunza mamamkwe wangu vibaya sana<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
inaelekea mama mkwe wako hana ma2mizi mengimengi n anapatiwa msaada na wa2 wengine wengi 2,c kila cku ww 2 coz ungeshachoka mamaa
 
wala!!! inaelekea nyie mmemzoea vibaya huyo kaka yenu, mpo wa5 lakini cjackia mkijichanga kumpa mama msaada, ooh,kaka katoa 50,kaka anunue jiko.... wifi yako mjanja bwana,akiwaendekeza mtamrudisha kijijini wakati mjini patamu.....loh!!!mmezidi.. umeolewa dada?? embu olewa yakukute ww uone utafanyaje,tena ww ndo unaweza ukamfungia huyo mumeo hata kwenda kwao kama ukijua kuwa akienda 2 lazima arudi m2pu,na lyf hii ya bongo she z veeeeeeeeery right.
<br />
<br />kama umeoa au kuolewa na unajua majukumu na familia zote mbili ya kwako na mpya ambayo umeingia usingenijibu hivyo.After all pesa c ishu ishu ni kwa nn wanawake wa ckuhizi wakiolewa hawana adabu ktk familia wanazoenda ama ni kwasababu wanakutana kimjinimjini?? wanazozikuta
 
Ushauri wangu:
Muiteni kaka yenu muongee naye na kama haeleweki muachane naye kabisa na mchangie nguvu nyie 4 ili kumsaidia huyo mama yetu hamtashindwa na Mungu atawasaidieni na huyo kaka yenu atakiona cha mtema kuni muda siyo mrefu! Poleni sana kwani hata kwetu pia wapo!
 
Back
Top Bottom