stevoh
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 2,921
- 1,104
- Thread starter
- #21
Maisha ni kujipanga..wapo ambao hawajaoa wanaonakana kama huyo jogoo aliyeoa, na wengi waliooa kuonekana kama huyo jogoo single.
Mi sijaona mantiki yoyote hapo.
Ni kweli kwa kua hujaelewa hata.. maana na pia picha hauoni unajaribu kutafuta yako ambayyo ni mantiki.. Hapo hatujaweka picha ya mantiki ila tumeamua kuzungumza kwa kutumia LUGHA YA PICHA