Jamani kwa yeyote anayejua 'siku ya kushika mimba hapa ni ipi'??

habari ni njema mdau, kwa tarehe ulizoanisha hapo juu, mzunguko wa mkeo utakuwa kama ifuatavyo
tarehe 14-18 bleeding
tarehe19-23 safe day/siku salama hawezi kupata mimba hapa
tarehe24-26 kuna uwezekano wa kupata mimba na mara nyingi ukifanya mapenzi una uwezekano mkubwa kupata mtoto wa kike
tarehe 27 ndo siku yenyewe kabisa ukifanya mapenzi hapa ni lazima apate mimba(ovulation day) uwezekano mkubwa ni mtoto wa kiume haswa ukiingiza ndani sana wakati wa kutoa mbegu(ku-ejaculate)
tarehe 28-30 pia kuna uwezekano maana yai la mama likishazalishwa hubakia hai kwa masaa 72, uwezekano mkubwa hapa pia ni wa kupata mtoto wa kiume
tarehe 1-14 safe days/siku salama
mdau ntakuwa nimekujibu.




nashukuru sana kwa majib yako na ni mazur kwa kwel hayajatofautia na ya wachangiaji na pia nili google
baby center pia majb ni haya haya!!

nashukuru pia!!
 
Ovulation Calendar | Free Ovulation Calculator - Ovulation Help jiasajili then jaza tarehe yako ya kwanza ya mvua kunyesha(bleeding) siku za mzunguko tafadhali usichague precise. save then itakupa calenda waweza chagua kuzuia mimba jinsia ya mtoto umtakaye na siku gani nisalama. mimi na shem wenu tunaitumia hii kupanga uzazi na tulitaka mtoto wakiume na tukaitumia tukapata tukaamua kusubiri 5years tukapanga wakike na mwezi uliopita tumepata wakike kwa kufuata ushauri huu tunajua lini tutumie condom na lini tusitumie na mamaaa hajawahi tumia vidonge au njia yeyote ya kuzuia mimba. Kumbuka kama unataka mtoto then kula vizuri kupumzika epuka maudhi hakikisha wote mnakuwa na furaha na sali siku hizo unazotafanya kuomba Mungu kwani vile vile ni Muhimu kuomba. Kwenye kuwa nafuraha ningependa wanandoa tukumbuke kuombana msamaha na kusameheana kabla hatujapanda kitandani kulala. si vizuri Kulala kitanda kimoja huku mmenuniana.

Kila laheri usisahau kama akishika ujauzito kwenda pamoja clinic kunamambo mengi mtajifunza pamoja. nakama ukipata mtoto basi kama baba ni vizuri muende clinic pamoja hua inasaidia kudumisha upendo. kama baba wakati mwingine ttenga muda kucheza na mwanao. Mungu Akutangulie upangalo lifanikiwe

asante kwa thread nzuri ngoja nifate hyo link kwan mm sasa nataka nicpate
 
ukitaka urahisi hapa na kwa faida ya wengine!ile cku ya kwanza unayoanza kubreed,unaihesabu,km 1 mpaka cku 10 (bila kuzitenganisha)ni safe,kuanzia ya 11 mpaka 14,ndo cku zenyewe za kushika mimba,kuanzia 15 mpaka atakapobreed tena ni safe.....mfano,km huyo ni tar 14 ndo ana anza,unahesabu mpaka tar 24 anakuwa safe,bt kuanzia 25-27 ndo za kushika mimba,frm tar 28 mpaka atakapo breed tena ni safe
In short,ovulation ina take place cku ya 12-13-14 na ndo cku za kushika mimba so japo ni kujua mzunguko wako tu
 
ukitaka urahisi hapa na kwa faida ya wengine!ile cku ya kwanza unayoanza kubreed,unaihesabu,km 1 mpaka cku 10 (bila kuzitenganisha)ni safe,kuanzia ya 11 mpaka 14,ndo cku zenyewe za kushika mimba,kuanzia 15 mpaka atakapobreed tena ni safe.....mfano,km huyo ni tar 14 ndo ana anza,unahesabu mpaka tar 24 anakuwa safe,bt kuanzia 25-27 ndo za kushika mimba,frm tar 28 mpaka atakapo breed tena ni safe
In short,ovulation ina take place cku ya 12-13-14 na ndo cku za kushika mimba so japo ni kujua mzunguko wako tu


asante nashukuru mkuu!!!!
 
Habari jion jaman? Matumaini yangu ni wazima!
Naomba mnisaidie Kujua ile siku/tar ya kushika mimba kwa mke wangu!

kwa kabisa ana mzunguko wa siku 28
bleed inaanza tar 14-tar 18 humalizia yaani kwa siku 4
sasa naomba mnisaidie kui-pin poit ile siku ya mama kupata mimba!!!
kwasababu nimekuwa nikifuatilia nakuta kila mtu na maelezo yake wengine wanasema humohumo akiwa anableed n.k
hii ni kweli ?
wadau wanajua haya mambo naomba mnisaidie!
Nawasilisha!!


Pole sana ndugu yangu.
Lakini kitu ambacho nataka kukukumbusha ni kwamba "Kuwa na mzunguko wa siku 28 pekee haitoshi kuweza kukubainishia ni tarehe ipi hasa ni muafaka kwa mimba". Kwani mwanamke anaweza kuwa na mzunguko kama huo lakini bado OVULATION isitokee katika tarehe hizo ambazo zimezoweleka kwa wengi (i.e 13-14-15).
1. Kitu cha kwanza ambacho unatakiwa kujua ni DANGER PERIOD KWA MKEO in practical view na siyo kwa kufuata theory za vitabuni ingawa nayo ina mchango wake mkubwa tu. Na hii utaipata kwa kuangalia the Longest month/Cycle na shotest Cycle then tuna-calculate na kujua danger period ni siku zipi.
Tunafanya hivi kwasababu suala zima la menstruation ni Hormonal dependence. Na ndo maana hata kama amemaliza kubleed last week lakini kama amepata stress kidogo tu anaweza kuanza kubleed tena hata leo.

2. Kitu cha pili ni lazima uzijue dalili (signs & symptoms) za Ovulation. Hii itakusaidia katika mambo yafuatayo:-
(a). Kuplani Kushika au Kutoshika mimba.
(b). Kupata mtoto wa kike au wa kiume.
(c). Kujua kama mkeo anapata Ovulation ipasavyo au kuna matatizo fulani yakiwemo Hormonal Imbalance etc.
(d). Mambo mengineyo............................................!

Na baada ya kuangalia hayo yote kama yapo sawa, inabidi kuangalia other conditions kwa huyo mama ambazo huwa zinapelekea yeye kuto-concive (eg. HyperProlactinaemia, etc). Nazo kama ziko OK, inabidi sasa TUKUKAGUE NA WEWE BROTHER.
Kwa setting niliyopo, wanandoa wengi wanaokuja kwa issue za kutafuta watoto, KWA ASILIMIA KUBWA TATIZO LINAONEKANA KWA WANAUME NA SI AKINA MAMA KAMA ILIVYOJENGEKA KATIKA JAMII.

Naomba niishie hapa, Njaa inaniuma. Karibuni Lunch!!!!!!!!!!!
 
Pole sana ndugu yangu.
Lakini kitu ambacho nataka kukukumbusha ni kwamba "Kuwa na mzunguko wa siku 28 pekee haitoshi kuweza kukubainishia ni tarehe ipi hasa ni muafaka kwa mimba". Kwani mwanamke anaweza kuwa na mzunguko kama huo lakini bado OVULATION isitokee katika tarehe hizo ambazo zimezoweleka kwa wengi (i.e 13-14-15).
1. Kitu cha kwanza ambacho unatakiwa kujua ni DANGER PERIOD KWA MKEO in practical view na siyo kwa kufuata theory za vitabuni ingawa nayo ina mchango wake mkubwa tu. Na hii utaipata kwa kuangalia the Longest month/Cycle na shotest Cycle then tuna-calculate na kujua danger period ni siku zipi.
Tunafanya hivi kwasababu suala zima la menstruation ni Hormonal dependence. Na ndo maana hata kama amemaliza kubleed last week lakini kama amepata stress kidogo tu anaweza kuanza kubleed tena hata leo.

2. Kitu cha pili ni lazima uzijue dalili (signs & symptoms) za Ovulation. Hii itakusaidia katika mambo yafuatayo:-
(a). Kuplani Kushika au Kutoshika mimba.
(b). Kupata mtoto wa kike au wa kiume.
(c). Kujua kama mkeo anapata Ovulation ipasavyo au kuna matatizo fulani yakiwemo Hormonal Imbalance etc.
(d). Mambo mengineyo............................................!

Na baada ya kuangalia hayo yote kama yapo sawa, inabidi kuangalia other conditions kwa huyo mama ambazo huwa zinapelekea yeye kuto-concive (eg. HyperProlactinaemia, etc). Nazo kama ziko OK, inabidi sasa TUKUKAGUE NA WEWE BROTHER.
Kwa setting niliyopo, wanandoa wengi wanaokuja kwa issue za kutafuta watoto, KWA ASILIMIA KUBWA TATIZO LINAONEKANA KWA WANAUME NA SI AKINA MAMA KAMA ILIVYOJENGEKA KATIKA JAMII.

Naomba niishie hapa, Njaa inaniuma. Karibuni Lunch!!!!!!!!!!!






Nashukuru mkuu! Kwa ushauri wako
ila ukiendelea baada lunch itakuwa Much better!
 
Nashukuru mkuu! Kwa ushauri wako
ila ukiendelea baada lunch itakuwa Much better!

Labda ili iwe rahisi kwa mimi kuendelea ningeomba uje na majibu ya hayo mambo mawili niloeleza hapo juu.
i.e. 1. Longest & Shortest cycle ya huyo mkeo (ili tupate DANGEROUS ZONE ya mkeo).
2. Kama unazijua dalili za Ovulation.


Baada ya hapo twaweza endelea na mambo mengine.....Inshaallah.
 
Labda ili iwe rahisi kwa mimi kuendelea ningeomba uje na majibu ya hayo mambo mawili niloeleza hapo juu.
i.e. 1. Longest & Shortest cycle ya huyo mkeo (ili tupate DANGEROUS ZONE ya mkeo).
2. Kama unazijua dalili za Ovulation.


Baada ya hapo twaweza endelea na mambo mengine.....Inshaallah.


swali la kwanza mbona kama nimejieleza vizuri mwanzo kama mtoa mada au muomba mshauri

2: dalili za ovulation ni zipi ?
msaada tafadhari?
Aulizaye anahitaji kujua!
 
swali la kwanza mbona kama nimejieleza vizuri mwanzo kama mtoa mada au muomba mshauri

2: dalili za ovulation ni zipi ?
msaada tafadhari?
Aulizaye anahitaji kujua!

Nimekutaka unipatie the Longest na Shortest Cycle coz najua si rahisi kwa mwanamke kuwa exactly 28 days for the whole year, lazima kuwe na some changes depending on some factors like environmental change, stress, some medications, etc.
Na kama huyo mkeo ni exactly cycle yake ni 28 days; DANGER PERIOD hapo ni kuanzia siku ya 11-17.
Ndani ya siku hizo tarehe yoyote inaweza kutokea Ovulation na siyo lazima iwe 13-14-15. Na ukishazifahamu dalili za Ovulation itakuwa rahisi kuinyaka ile siku yenyewe husika.

Kuhusu signs & symptoms za Ovulation, fanya subira, nitarejea tena kwako baadae Inshaallah.
 
Nimekutaka unipatie the Longest na Shortest Cycle coz najua si rahisi kwa mwanamke kuwa exactly 28 days for the whole year, lazima kuwe na some changes depending on some factors like environmental change, stress, some medications, etc.
Na kama huyo mkeo ni exactly cycle yake ni 28 days; DANGER PERIOD hapo ni kuanzia siku ya 11-17.
Ndani ya siku hizo tarehe yoyote inaweza kutokea Ovulation na siyo lazima iwe 13-14-15. Na ukishazifahamu dalili za Ovulation itakuwa rahisi kuinyaka ile siku yenyewe husika.

Kuhusu signs & symptoms za Ovulation, fanya subira, nitarejea tena kwako baadae Inshaallah.


sasa hapo unaniambia 11-17 lakin hapa kaanza ku bleed tar 14/11
sasa hapa inakuwaje'??
 
sasa hapo unaniambia 11-17 lakin hapa kaanza ku bleed tar 14/11
sasa hapa inakuwaje'??

Kama ameanza kubleed trh 14/11/2012, Danger Period hapo ni tarehe 24/11/2012-30/11/2012.
Ahsante.
 
pia waweza jaribu hamster free women calender download then unakuwa unajaza tu tarehe yenyewe itakupa information nyingi
 
Ovulation Calendar | Free Ovulation Calculator - Ovulation Help jiasajili then jaza tarehe yako ya kwanza ya mvua kunyesha(bleeding) siku za mzunguko tafadhali usichague precise. save then itakupa calenda waweza chagua kuzuia mimba jinsia ya mtoto umtakaye na siku gani nisalama. mimi na shem wenu tunaitumia hii kupanga uzazi na tulitaka mtoto wakiume na tukaitumia tukapata tukaamua kusubiri 5years tukapanga wakike na mwezi uliopita tumepata wakike kwa kufuata ushauri huu tunajua lini tutumie condom na lini tusitumie na mamaaa hajawahi tumia vidonge au njia yeyote ya kuzuia mimba. Kumbuka kama unataka mtoto then kula vizuri kupumzika epuka maudhi hakikisha wote mnakuwa na furaha na sali siku hizo unazotafanya kuomba Mungu kwani vile vile ni Muhimu kuomba. Kwenye kuwa nafuraha ningependa wanandoa tukumbuke kuombana msamaha na kusameheana kabla hatujapanda kitandani kulala. si vizuri Kulala kitanda kimoja huku mmenuniana.

Kila laheri usisahau kama akishika ujauzito kwenda pamoja clinic kunamambo mengi mtajifunza pamoja. nakama ukipata mtoto basi kama baba ni vizuri muende clinic pamoja hua inasaidia kudumisha upendo. kama baba wakati mwingine ttenga muda kucheza na mwanao. Mungu Akutangulie upangalo lifanikiwe

Nimeipenda hii mkuu,maneno ya busara sana, keep it up.
 
Lol....hili somo zuri sana ngoja niprit nihifadhi kwenye makabrasha yangu asanteni sana wataalamu na sisi wengine ambao bado hatujaoa litakuja kutusaidia huko mbeleni Inshaallah!!!
 
Back
Top Bottom