kvelia
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 246
- 44
Hapa nazungumzia vyuo vya ualimu ktk ngazi ya Diploma.
Naaminimtu yeyote aliyemaliza form six kumtreat kama mtoto wa form
one ni sawa na kumdhalilisha. Kuna baadhi ya vyuo sijui kama ni
vyote hapa nchini vinafanya mambo ya ajabu eti ni kumfundisha
mwalimu maadili. Mwalimu mtarajiwa anaamka asubuhi na mapema
ananyeshea bustani yake kisha anaenda kufanya usafi ktk eneo lake,
baadae kengele inagongwa kisha wanakaguliwa usafi hadi kucha!!!!!!,
kama ndio hivyi basi na waalimu wa vyuo vikuu wafanyiwe hivihivi ili
kuwapa maadili zaidi. Hili mnalionaje wadau...
:focus:
Honesty is the first chapter in the book of wisdom
Naaminimtu yeyote aliyemaliza form six kumtreat kama mtoto wa form
one ni sawa na kumdhalilisha. Kuna baadhi ya vyuo sijui kama ni
vyote hapa nchini vinafanya mambo ya ajabu eti ni kumfundisha
mwalimu maadili. Mwalimu mtarajiwa anaamka asubuhi na mapema
ananyeshea bustani yake kisha anaenda kufanya usafi ktk eneo lake,
baadae kengele inagongwa kisha wanakaguliwa usafi hadi kucha!!!!!!,
kama ndio hivyi basi na waalimu wa vyuo vikuu wafanyiwe hivihivi ili
kuwapa maadili zaidi. Hili mnalionaje wadau...
:focus:
Honesty is the first chapter in the book of wisdom