Mimi ni mama ambaye niliamua kuingia kwenye uwakala wa mpesa na tigo pesa.
Nilianza kulipia mpesa jamani ni siku chache tu nimepata line yao, hongera mpesa.
Kuja kwenye tigo pesa nimelipia zaidi ya mwezi sasa ninaambiwa uje siku fulani nikimtuma mdogo wangu anaabiwa bado uje siku fulani amekwenda zaidi ya mara 3 anazungushwa
nililipia pale kariakoo relini pale kw wakala wa tigo
nifanyeje jamani
tigo nisaidieni nifanyeje?
Nilianza kulipia mpesa jamani ni siku chache tu nimepata line yao, hongera mpesa.
Kuja kwenye tigo pesa nimelipia zaidi ya mwezi sasa ninaambiwa uje siku fulani nikimtuma mdogo wangu anaabiwa bado uje siku fulani amekwenda zaidi ya mara 3 anazungushwa
nililipia pale kariakoo relini pale kw wakala wa tigo
nifanyeje jamani
tigo nisaidieni nifanyeje?