Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
rafiki kupotea unafikiri napenda? ni majukumu tu yananifanya muda mwingine nione JF kama kituo cha polisi.
Mimi mzima kabisa, hofu kwako
Mie mzima....Tupo tunapambana na uzee!!
Babu DC!!
rafiki kupotea unafikiri napenda? ni majukumu tu yananifanya muda mwingine nione JF kama kituo cha polisi.
Mimi mzima kabisa, hofu kwako
Pole byshernger
sio mabinti tu
hata wavulana ni kazi mno.
Hakikisha unakuwepo, sio unakuwa baba wa kukodi.