The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,873
mimi nafikiri hata toilet na dressing table inapaswa kila mtu awe na yake
umasikini tu kwa kweli unatuangusha...
ndo maana
matajiri utasikia nyumba ina vyumba vitatu lakini kuna 8 bathrooms
umeshawi jiuliza why matajiri wanaona sifa sana kutaja idadi ya bathrooms kwenye majumba yao?????
utasikia 12 bathrooms mansion.......
ni usafi tu,hakuna kingine....
umasikini tu kwa kweli unatuangusha...
ndo maana
matajiri utasikia nyumba ina vyumba vitatu lakini kuna 8 bathrooms
umeshawi jiuliza why matajiri wanaona sifa sana kutaja idadi ya bathrooms kwenye majumba yao?????
utasikia 12 bathrooms mansion.......
ni usafi tu,hakuna kingine....