Sungurampole
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 984
- 205
Nikisikiliza mazungumzo mengi ya watu kufuatia mjadala wa jana bungeni kuhusu Msuada wa Katiba nasikia wote wakisema Katiba siyo kitu cha kucheza.
Hata jana nilipowasikiza Mh Tundu Liso, Mh Anna Kilango(CCM), Mh Mrema(TLP) na hata (CUF) wote walisema TUSIICHEZEE KATIBA
Kinachogomba ni tafsiri ya kuchezea katiba.
Ni wakati gani unaichezea katiba?
Je, ni pale unalenga kuboresha mapungufu yalipo katika katiba au pale unapoyanyamazia?
Nawasilisha
Hata jana nilipowasikiza Mh Tundu Liso, Mh Anna Kilango(CCM), Mh Mrema(TLP) na hata (CUF) wote walisema TUSIICHEZEE KATIBA
Kinachogomba ni tafsiri ya kuchezea katiba.
Ni wakati gani unaichezea katiba?
Je, ni pale unalenga kuboresha mapungufu yalipo katika katiba au pale unapoyanyamazia?
Nawasilisha