Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
- Thread starter
- #21
Kwasababu mie sio muongo nitawezaje ku2nga k2 cha uongo!Duh,watu wengine hata kutunga tu stori za uongo hamuwezi
Kwasababu mie sio muongo nitawezaje ku2nga k2 cha uongo!Duh,watu wengine hata kutunga tu stori za uongo hamuwezi
Sawa ndugu yangu cntolipiza kisacha ha ha mbavu sina mwenzenu duh, huu ukichaa wanao wazungu sana. cha kufanya panga utaratibu mzuri wa mbwa wako kutoa haja kubwa ili asiende tena kuchafua kwa jirani. ukilipiza kisasi ujirani utaharibika na wewe utapata aibu bure. pls usilipize kisasi utakuwa kituko kama huyu jirani yako. ila bado nacheka kwa kweli.
ahahahah!!Inaonesha jirani yako kakaa loliondo muda mrefu sana. Kule kunia ni popote.
Inaonesha jirani yako kakaa loliondo muda mrefu sana. Kule kunia ni popote.
kweli kakukera, naomba nikusaidie ku log off.... NALOG OFF kwaniaba ya washawasha...lolHabari zenu kwa ujumla,natumaini hamjambo na weekend imeisha salama,kwangu mie siku ya leo sijaamka vizuri kutokana na yaliyonitokea alfajiri ya leo,Wakuu hivi nimfanyeje jirani yangu huyu? Niliamka saa 10 alfajiri ili kujiandaa kwenda mihangaikoni basi nafungua dirisha ili niangalie nje,sikuamini macho yangu pale nilipomuona jirani yangu na My family yake yote wakijisaidia haja kubwa ktk ua wangu kwa hasira nikatoka nje ili nikamuulize tatizo ni nini. MIMI:Jirani vp tena mbona unajisaidia haja kubwa ktk ua wangu? Kwa nyodo akanibu hivi. JIRANI:We mbona mbwa wako anakuja kun*a nyumbani kwangu.kwani mie sichoki kufagia kinyesi chake?
kweli kakukera, naomba nikusaidie ku log off.... NALOG OFF kwaniaba ya washawasha...lol
Duh,watu wengine hata kutunga tu stori za uongo hamuwezi
Habari zenu kwa ujumla,natumaini hamjambo na weekend imeisha salama,kwangu mie siku ya leo sijaamka vizuri kutokana na yaliyonitokea alfajiri ya leo,Wakuu hivi nimfanyeje jirani yangu huyu? Niliamka saa 10 alfajiri ili kujiandaa kwenda mihangaikoni basi nafungua dirisha ili niangalie nje,sikuamini macho yangu pale nilipomuona jirani yangu na My family yake yote wakijisaidia haja kubwa ktk ua wangu kwa hasira nikatoka nje ili nikamuulize tatizo ni nini. MIMI:Jirani vp tena mbona unajisaidia haja kubwa ktk ua wangu? Kwa nyodo akanibu hivi. JIRANI:We mbona mbwa wako anakuja kun*a nyumbani kwangu.kwani mie sichoki kufagia kinyesi chake?