next
JF-Expert Member
- Nov 2, 2007
- 604
- 184
Dah...! Hapa unataka ushauri gani mkuu? Umekosa uamuzi wako binafsi kuhusu mustakabali wa maisha yako kabisa??
Ngoja waje wenyewe.
sasaa hili la ufanye nini ndo unatuuliza sisi?
si data zote unazo?
nimezipenda hizi comment za wadau. hope they fits ur request