Picha kama hizi zinatukumbusha kumshukuru Mungu kwa mema aliyotutendea, wengine wetu tunaringa na kukufuru utafikiri tulijiumba wenyewe. Eee Mungu utusamehe kwa madhaifu yetu wanadamu uliotuumba kwa upendeleo, sio sisi ni shetani ametukalia vibaya.AMEN
joseph konny kule uganda na charles tayler amefyeka san amidomo ya watu kule, alikuwa na koni anakamata watu anawakata midomo na kuwaachia....unyama mkubwa sana huu.
Mkuu Bongo hyo?
Well, kama huyu anafanyiwa tiba na kuonekana nafuu kuliko ilivyo sana. Kama angefanyiwa akiwa mdogo wala asingefika hapo. Hyo cleft lip huwa inarekebishwa kwa surgery. Mara nyingi huwa kuna flying doctors mabingwa wa plastic surgery kutoka Brazil na Egypt huwa wanatembelea sehemu mbalimbali za Tanzania kwa mwaliko wa AMREF. Kwenye meno inafanyika dental job mpaka unamsahau hyo. Sasa sijui ndo mmoja wa victim wa kuishi mbali na health facilities?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.