Beki ya Chelsea inajitahidi so far.Ila hawakai na mpira hata kwa yale mashambulizi yao ya masafa marefu na offside zimekuwa nyingi kwa huyu Bwana Drogba.
Chelsea wamenifanya leo nilale fresh maana nilibet nikasema wanashinda,kwa hiyo kesho asubuhi na mapema naenda kuchukua mzigo maana salio langu lote nilibet ,yaani hapa ni full shangwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.