Seto
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 953
- 53
mie kwangu supa modo tanzania atabakia kuwa huyu, anatisha kwenye kiwanda cha modo, hana mpinzani kwa ujasiri, toto natural..
Kaa!!! Hili dungayembe...
mie kwangu supa modo tanzania atabakia kuwa huyu, anatisha kwenye kiwanda cha modo, hana mpinzani kwa ujasiri, toto natural..
Wandugu naomba kuelimishwa. Uzuri maana yake ni nini? Je uzuri upo general au kila mtu na mtazamo wake?
kumbuka, nje na ndani ni vitu viwili tofauti.
Wewe una chuki binafsi sio bure hivi hiyo picha unayoizungumzia hapa ni ipi mkuu??
huyo Jenipher hamna kitu yani ni maji matupu humo. believe me.
Huyu unatafuna mpaka mifupa yake yote, mwana tetere huyu! Looo
mwacheni Mungu aitwe Mungu.....................................Ama kwa hakika Bongo kuna warembo wazuri si mchezo...
kweli kabisa unaweza kukuta ni mzuri sana kwa nje lakini hamna m/ume anayediriki kukaa nae kwenye realtion zaidi ya mwezikumbuka, nje na ndani ni vitu viwili tofauti.
ama kwa hakika bongo kuna warembo wazuri si mchezo...
mwacheni Mungu aitwe Mungu.....................................
Sijui kama ukiwa na totozi kama hii mtu unaweze ku-cheat..............