roselyne1
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 1,365
- 93
huyo Jenipher hamna kitu yani ni maji matupu humo. believe me.
hivi hata hujishtukii??? kwa kuchomekea huu upuuzi hapa?
huyo Jenipher hamna kitu yani ni maji matupu humo. believe me.
kumbuka, nje na ndani ni vitu viwili tofauti.
kumbuka, nje na ndani ni vitu viwili tofauti.
aisee hizi picha zimetoka bomba nani mpigaji?
huyo Jenipher hamna kitu yani ni maji matupu humo. believe me.
huyo Jenipher hamna kitu yani ni maji matupu humo. believe me.
Huu ni urembo wa kwenye mikebe na nywele za maiti.
Tazama hizo nywele hala nambie ndio alizozaliwa nao? Tazama hiyo rangi ya mwili? Mbona magoti meusi?
Hivi kwa nini tunamkosoa Mungu? Halafu tunajidanganya kuwa ni wazuri?
Hizo nywele za wafu au za bandia, hutowa harufu hata ufanye nini.
Na hizo dawa za kujichubuwa ngozi ndio usiseme. Ngozi ikichubuliwa hunuka ajabu, kama unabusha kaa karibu na mwanamke alie jichubuwa utanambia! Wananuka harufu ya kiajabu, hata ajitie manukato harufu ya ngozi iliyokufa huwa haiishi.
Tuwekee picha za mabinti walio natural halafu ndio tusifie, sio hivi vinuka ngozi!
somari or tusi?