Tatizo ya shule za kata,aya inajieleza wenyewe,maana ya sala,iliyotajwa hapa ni salute,hata maana ya ya salute hujui.Hii ndio yenyewe
Walete hapa maelezo ni nchi gani,au ni wapi msikiti umegeuzwa kanisa kwa hiyari ya waumini wa huo msikiti,maelezo ya hao waislamu wanaoingia ukristo yanaonesha wazi ni kwa kuteswa,kupigwa,kuuwawa,na kulazimishwa kwa nguvu,si kwa hoja wala hiyari yao.Maneno yako yana choma kama msumari wa moto kwenye kidonda!
Auchhhhhh!
Taratibu mkuu Kikwajuni one utaumiza wachungaji humu ndani!. Fanya huruma kidogo.
Walete hapa maelezo ni nchi gani,au ni wapi msikiti umegeuzwa kanisa kwa hiyari ya waumini wa huo msikiti,maelezo ya hao waislamu wanaoingia ukristo yanaonesha wazi ni kwa kuteswa,kupigwa,kuuwawa,na kulazimishwa kwa nguvu,si kwa hoja wala hiyari yao.
Na Twakimu pia si sahihi,kama kila mda huo wanaingia ukristo waislam katika Afrika,basi ndani ya masaa 72,ingekuwa wa Afrika wote ni wakristo!
Tatizo ni dini yakuletewa,YA MTUMBA,dini inayosemwa asili yake ni Mashariki ya Kati,lakini imetokeya ulaya,haijatokea kule ilikoanzishwa.Wazi baba. Huyo MaxShimba ni mtu mdanganyifu sana! Anasema uongo toka asubuhi mpaka asubuhi!
Na kwa sababu ni muongo. Basi maneno yake yoote hayana ushahidi.
Na akionyesha ushahidi basi hakupi muda wa kujibu. Kwani ni ushahidi wa uongo na wa kubumba tu!
Lkn anapewa daawa. Hivo hivo. Siku moja huenda akaimeza hio dawa. Akapona.
Ah!ndugu zanguni Imani hizi,me naona bora mkaacha haya yote kila mtu akaamini anachoamini ktk nafsi yake,hapa nachoona huyu anamwambia huyu hivi,huyu nae anasema hivi alimradi ni majibizano..kuna ki2 kimoja hua nashindwa kuelewa,kwanini mtu anashindwa kumvumilia mtu anaeabudu kitu tofauti na anachokiabudu yy?coz kama nikupoteza nafsi yake,ni yy mwenyewe na c'yayule anaempinga!so coni haja ya mimi kuamini ktk nachokiamini then mwingine akapinga mana mwisho wangu naamini itakuwa kati yangu mimi na Mungu wangu na'c vinginevyo.japokuwa tunapeana elimu na me binafsi naona,ila tupeane tu uhuru tuache kuingiliana Kiimani.hii nikwa wote Wakristo na Waislam,ni hayo tu na nitangulize samahani kama nitamkwaza mtu.na_Log Out.