Habri wana JF?leo ningependa kushea na wana JF experience yangu then itakuwa topic 4 discussion.
leo jioni wakati natoka kwa mihangaiko yangu kulikuwa na bonge la foleni Tabata kuelekea Tazara.
wakati huo kulikuwa na msururu wa Lory za jeshi (Iveco)kama tano hivi.
wale wanajeshi kuona vile wana JWTZ wakahama barabara msafara mzima wakahamia upande wa kwenda Ubungo (walikeep right),kufika Buguruni Sheli wanakutana na trafic,anawarudisha wafuate sheria za barabarani wanakuwa wakali na hadi kumtishia trafiki kumgonga na kumtukana!
je kuwa mjeda kunahalalisha kuwa juu ya sheria na taratibu?
hii inarejelewa na vitendo vingi vya ukorofi wanavofanya hawa wenye dhamana ya kulinda nchi yetu.
Nawasilisha.
leo jioni wakati natoka kwa mihangaiko yangu kulikuwa na bonge la foleni Tabata kuelekea Tazara.
wakati huo kulikuwa na msururu wa Lory za jeshi (Iveco)kama tano hivi.
wale wanajeshi kuona vile wana JWTZ wakahama barabara msafara mzima wakahamia upande wa kwenda Ubungo (walikeep right),kufika Buguruni Sheli wanakutana na trafic,anawarudisha wafuate sheria za barabarani wanakuwa wakali na hadi kumtishia trafiki kumgonga na kumtukana!
je kuwa mjeda kunahalalisha kuwa juu ya sheria na taratibu?
hii inarejelewa na vitendo vingi vya ukorofi wanavofanya hawa wenye dhamana ya kulinda nchi yetu.
Nawasilisha.