Jamani hivi INAWEZEKANA?

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Sep 29, 2012
3,401
1,604
Mimi ni mwanafunzi nasoma Public Adminstration moja ya vyuo vikuu hapa dar, ndo naingia mwaka wa 3 namalza chuo mwakan mwezi wa sita. Ninataka nianze kuomba kazi yoyote ile itakayo tangazwa kabla sijamaliza chuo, KWA USHAURI WENU NA UZOEFU WENU mnadhani naweza kufanikiwa kupata kazi ikiwa bado nipo chuo pamoja na tatzo la ajira tulilo nalo nchini. Nategemea busara zenu kaka zangu na kina dada zangu.
 
Unaweza kuomba kwa matokeo ya form six na hiyo kazi inabidi iwe na mchakato mrefu mpaka kuitwa kazini ili mpaka unaitwa uwe ushamaliza
 
Unaweza kuomba kwa matokeo ya form six na hiyo kazi inabidi iwe na mchakato mrefu mpaka kuitwa kazini ili mpaka unaitwa uwe ushamaliza

lakini si anaweza akaambatanisha na MATOKEO yake ya chuo mwaka wa kwanza na wa pili? Au unaonaje?
 
Ninauhakika inawezekana bt co ya proffesional yako, ukipata ya shifting ni nzuri zaid itakusaidia nawe kupata mda mwingne wa kupga pind kukosa mara moja moja co mby.
 
mhh mimi nahisi technically inawezekana but practically is where the problem comes :thinking:

mtaani naona watu na vyeti kamili tena madaraja mazuri lakini kibarua hamna, kweli bongo kujuana saa nyingine :A S 100:
 
lakini si anaweza akaambatanisha na matokeo yake ya chuo mwaka wa kwanza na wa pili? Au unaonaje?
kwa uzoefu wangu hiyo ya kuambatanisha na sehemu ya matokeo haisaidii sana kwa sababu kwa mfumo wa kazi za tanzania;wanasema labda wanataka watu wenye degrre au form six,sasa ukiabatanisha na sehemu ya matokeo hatimae unakuwa uko between hivyo ni rahisi kupuuzwa.
 
Back
Top Bottom