JAMANI HILI ZIGO ALIJAOPOLEWA AFRIKA SANA PUB ANGALIA LILIVYOHAMAKI MASKINI WEEE
Sijakupata mkuu PDiddy..
sijakupata mkuu pdiddy..
mkuu ujaelewa ..uoni hilo dege la mkuu gbagbo lilivyokaa kama wanawali wetu wa afrikasana pale sinza wakisubiri vitoweo ..jitahd hata upite pite upate nyama choma mkuu ila usiguse midege ya pale mingi screpa......apea zake azipatikaan ukiiigusa..
Afrika nakupenda Afrika........... Kutoka Uraisi hadi kupigwa kibao na mjeshi na kushikwa mkwiju............ Kweli Africa ni moja from Capetown, to Arusha and Cairo...........
Hivi naona vibaya? naona kama mzee mzima ana ngeu jichoni na mama kichwani kama kuna damu hivi, ama alichanganyikiwa sana kiasi cha kuweka lipstick kichwani.