Sioni tatizo hapo. Ni mzuri na kapendeza. Sasa ukicheche umetoka wapi? Kwanza nini maana ya kicheche?
She is under 18, hilo ndilo tatizo.
kicheche at work
waombeeni sana watoto mliozaa maana ndo vicheche wa kesho tusihukumu sana tusije hukumiwa
waombeeni sana watoto mliozaa maana ndo vicheche wa kesho tusihukumu sana tusije hukumiwa
Kwapa kama goti acha kumshambulia mwanamke mwenzio unakuwa na wivu utadha kakukombea mume?!!She is beautiful ila kikwapa mh mbn kyeusi ivo mtt wa kike?na kwa wanawake wenzangu wengine tuwe tunajisugua na limao kikwapa kinawakaaa!mwanamke usafii!