we unasema masharti ya mganga?
wapo watu weengi mno wanaamua 'kuachwa wafe'
au ndugu zao wanaamua basi acha afe
sababu ya kushindwa tu 'kutangaza msaada wa pesa'
wachangiwe apelekwe nje....
na huyo ni mganga au mchawi?
pokea like 8 kwa post hii
SIJATAMKA KWA MAANA KAMA HIYO UNAYOELEWA WEWE. mimi nilikuwa nataka nimwonyeshe rose kuwa kuna watu wanapita so mtu akitoa la kwake asikimbilie kulikataa la litafakari zaid. Yaelekea wewe hujayajua maisha dogo siku ukiyajua basi hutakuwa mtu asiyejua kufikir kama wewe.
Upo kwenye ndoa na mumeo mna ndoa yenye furaha tele na mmejaaliwa mafanikio yote!Ya kifedha na kiuhusiano!Na pia mmejaaliwa mtoto mmoja tu wa kike na anafanana sana na wewe mama yake!Bahati mbaya baada ya kujifungua mtoto huyo ukapata matatizo ya uzazazi yaliyopelekea ukaondolewa mfuko wa uzazi.Huwezi kuzaa tena. . .Tatizo linakuja mwanao anaanza kuugua sana unampeleka hosptl haponi,hali inakua mbaya zaidi na mtoto anaanza kuwa na mabakamabaka mwili mzima kama nyoka,mnapeleka kuombewa inashindikana,mnaamua kumpeleka hosptl za nje ya nchi;Nairobi,South Africa mpaka India lakini hali inakua mbaya zaidi.Mumeo ni mtu wa dini na ameokoka hataki kusikia mambo ya waganga wa kienyeji.Unaamua wewe mwenye kumpeleka mwanao kwa mganga,mganga anamkagua mwanao na anakwambia anaweza kumtibu lakini kutokana na ugonjwa wa mwanao kwa sababu ni wa kike dawa ile itamtibu mwanao kwa wewe na mwanao kuitumia kwa njia tofauti.Mwanao utamwogesha na dawa ile pamoja na kumnywesha.Wewe utaioga dawa ile lakini pia inatakiwa mumeo aipake dawa ile kwenye uume kisha akuingilie kinyume na maumbile halafu baada ya siku 3 unywe dawa ile!Ungefanyaje?Kuna mwanamke mwenzio anachangamoto hii,jaribu kumsaidia!