drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 281
wakuu jana nilikwenda wapo mission wana kifaa cha kupima afya mwili mzima kwa sekunde 56 na kinakupa majibu yote nakama unaflash disk wanakuwekea majibu yako na pia wanamtambo wakutoa sumu mwilini hapo ndio waliniacha hoi kidogo wanakufunga belt kiunoni na mkanda mkononi kisha wanatumbukiza kiplastiki kmoja kwenye maji unatumbukiza miguu baada ya mda maji yanaanza kubadilika yanakuwa machafu kabisa ila kwenye vipimo niliweza kubaini ukweli fulani kwani nilitoka kupima full blood picture pale aar so nimewakubali