FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,373
- Thread starter
- #21
hao wanaodhani unapotosha wamependa kufikiri hivyo. Ni watoto wengi tu hufanya abortion wakiwa mashule na mara nyingine bila wazazi kujua. Kwa njia mbalimbali salama na zisizo salama.
Kama hiyo unayosikia hapo chai, so many have used that method. Inasaidia au haisaidii sina uhakika kwani wengi wanaotumia hizi natural methods huogopa hata kupima so wakijihisi tu kama wana mimba huanza kubwia machai.
Plus hizi njia za abortion hazitumiki na watoto tu hata watu wazima, nikipata muda nitawatumia source ya study iliyofanyika kuhusu hili. Tena sio kwa wanawake wa kiafrika ni wa kizungu, this means hata ulaya mambo haya yapo
thanks mimi -soso kumbe haya mambo yapo hata ulaya mweh leo FL kuyaweka hapo amekuwa mpotoshaji wa jamii
ehehheee
naombeni kura zenu