FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
haya ma DR wa JF hizi dawa za wanafunzi zina ukweli wowote ama ???
:shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth:
:shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth:
Kuna kadenti kamoja naona kamekamata Ujauzito kakiwa kidato cha tatu ..
Nimevisikia ktk pita pita zangu saloon vinasema eti kamoja kamenasa mimba ina week moja au mbili ,,
Mwenzao sijui ni konkodi wa abotion amekaambia kenzie kafanye haya yafuatayo ili kaweze kuendelea na masomo yake
1. Kunywa majivu - pregnant itago- away
2. Chemsha Chai ya majani chungu unywe -preg itagoo away
3. sijui fanya nini
haya ma DR wa JF hizi dawa za wanafunzi zina ukweli wowote ama ???
dah! unafundisha kuuwa babu kaazi!sindano moja ya dawa ya quinin inatosha ila isiwe zaidi ya miezi miwili
Kuna kadenti kamoja naona kamekamata Ujauzito kakiwa kidato cha tatu ..
Nimevisikia ktk pita pita zangu saloon vinasema eti kamoja kamenasa mimba ina week moja au mbili ,,
Mwenzao sijui ni konkodi wa abotion amekaambia kenzie kafanye haya yafuatayo ili kaweze kuendelea na masomo yake
1. Kunywa majivu - pregnant itago- away
2. Chemsha Chai ya majani chungu unywe -preg itagoo away
3. sijui fanya nini
haya ma DR wa JF hizi dawa za wanafunzi zina ukweli wowote ama ???
dah! unafundisha kuuwa babu kaazi!
shubiri achanganye na majani ya mlangi langi anwe kila saa kikombe kimoja cha chai kwa siku tatu .
Abortion ni dhambi, ila unaweza kufanya pale inapobidi.
mmh first lady !!!, me nadhani unge kabana hako kadent kathibitishe. hapa waungwana wasije dhani ni wewe ndo unataka kutest hizo vitu na si kujua kwa maana ya kupata knowledge. ila kwa ufahamu wangu hizo njia ni traditional zaidi sasa huenda zinafanya kazi lakini namna zinavyofanya kazi sijui. pili risk inaweza kuwa ni kubwa zaidi juu ya usalama wa mtumiaji ki-mwili. japo kiroho njia yoyote ile inayohusu hili jambo ni mbaya
mpendwa labda nimekosea kuiweka mada katika mtililiko unaofaaMtoa mada sijui amekusudia nini, lakini naona anataka kupotosha Umma, haya ni maoni yangu, I have nothing against her. Lakini japo kua imechangia kitu kikubwa ambacho labda wengi hamjaki-notice, ni Post ya MziziMkavu, hii ni lesson that every one of us should learn and teach our children and our sisters, and please be fair enough to them and try to use the slogan of "DOING A MISTAKE IS NOT A MISTAKE BUT ADDING A MISTAKE TO A MISTAKE IS FATAL" NOW PLEASE LET'S NOT SUPPORT THE IDEA OF ABOTION AS IT I-A BIG SIN IN EVERY GREAT RELIGIONS.